Klabu ya Real Madrid imejikuta katikati ya mjadala mpya baada ya kuibuka kwa mvutano wa maneno kati ya mshambuliaji wake nyota Kylian Mbappé na kocha wake Álvaro Arbeloa, hali inayozidi kuvuta hisia za mashabiki.
Mvutano huo ulianza baada ya Mbappé kuonyesha kutoridhishwa na muda wake wa kucheza katika baadhi ya mechi muhimu Alhamisi usiku akiachwa benchi hadi kipindi cha pili kwenye..... download Xtra 90 App



