Local,Normal News,Azam Fc, Mashujaa

Azam Fc yaichapa Mashujaa Fc 1-0, yatinga nusu fainali CRDB Cup

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 May 2026
Azam Fc yaichapa Mashujaa Fc 1-0, yatinga nusu fainali CRDB Cup

Azam Fc imetinga robo fainali ya kombe la CRDB baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa Fc katika mchezo uliopigwa uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma.

Bao la mpira wa adhabu lililofungwa na Idi Nado lilitosha kuihakikishia Azam Fc ushindi muhimu katika mchezo ambao wauza Ice cream hao walitawala kwa muda mwingi hasa kipindi cha kwanza.

Ni rasmi sasa Azam Fc watamenyana na Yanga kwenye mchezo wa nusu fainali.

Tayari timu tatu zimefuzu nusu fainali ambazo ni Coastal Union, Yanga na Azam Fc.

Mchezo wa kuhitimisha hatua ya robo fainali unazikutanisha Simba dhidi ya TRA United ukipigwa dimba la KMC Complex.

Mshindi wa mchezo huo atachuana na Coastal Union hatua ya nusu fainali.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
5h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
8h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
12h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
15h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
15h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
17h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
20h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’