Azam Fc yaichapa Mashujaa Fc 1-0, yatinga nusu fainali CRDB Cup

Joel JJ By Joel JJ β€’ 17th May 2026


Azam Fc yaichapa Mashujaa Fc 1-0, yatinga nusu fainali CRDB Cup

Azam Fc imetinga robo fainali ya kombe la CRDB baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa Fc katika mchezo uliopigwa uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma.

Bao la mpira wa adhabu lililofungwa na Idi Nado lilitosha kuihakikishia Azam Fc ushindi muhimu katika mchezo ambao wauza Ice cream hao walitawala kwa muda mwingi hasa kipindi cha kwanza.

Ni rasmi sasa Azam Fc watamenyana na Yanga kwenye mchezo wa nusu fainali.

Tayari timu tatu zimefuzu nusu fainali ambazo ni Coastal Union, Yanga na Azam Fc.

Mchezo wa kuhitimisha hatua ya robo fainali unazikutanisha Simba dhidi ya TRA United ukipigwa dimba la KMC Complex.

Mshindi wa mchezo huo atachuana na Coastal Union hatua ya nusu fainali.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’