Klabu ya Simba SC imeonyesha ubora mkubwa na kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la CRDB baada ya kuichapa TRA United mabao 4-0 katika mchezo wa robo fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex.
Simba ilianza mchezo huo kwa kasi kubwa huku ikifanikiwa kupata bao la mapema dakika ya tano kupitia kiungo mshambuliaji Clatous Chama ‘Mwamba wa Lusaka’ aliyemalizia kwa ustadi krosi..... download Xtra 90 App



