Nyota wa soka wa Brazil, Neymar Jr., rasmi amerejea katika kikosi cha taifa cha Brazil kitakachoshiriki Kombe la Dunia 2026 litakalofanyika Marekani, Canada na Mexico.
Kocha wa Brazil, Carlo Ancelotti, alitangaza kikosi hicho cha wachezaji 26 huku jina la Neymar likiwa gumzo kubwa kutokana na historia yake ya majeraha katika miaka ya karibuni.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na..... download Xtra 90 App



