Mashabiki wa Arsenal FC wameingia kwenye historia mpya baada ya klabu hiyo kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 22, jambo lililosababisha shamrashamra kubwa ndani na nje ya jiji la London.
Ubingwa huo ulithibitishwa baada ya Manchester City FC kushindwa kupata ushindi dhidi ya AFC Bournemouth kwa kutoka sare ya bao 1-1, matokeo yaliyoifanya Arsenal kuongoza..... download Xtra 90 App



