Klabu ya Aston Villa imeandika historia mpya barani Ulaya baada ya kutwaa taji la UEFA Europa League msimu wa 2025/26 kwa ushindi mkubwa wa mabao 3-0 dhidi ya SC Freiburg katika fainali iliyochezwa Istanbul, Uturuki.
Ushindi huo umehitimisha ukame wa miaka 30 bila kombe kubwa kwa Villa na kuirejesha rasmi kwenye ramani ya vigogo wa soka Ulaya.





