Manchester United imefanya uamuzi rasmi wa kumthibitisha Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa kudumu wa klabu hiyo baada ya kipindi chake cha mafanikio akiwa kocha wa muda.
Carrick amesaini mkataba wa miaka miwili utakaomuweka Old Trafford hadi mwaka 2028, hatua inayokuja baada ya kuonesha mabadiliko makubwa ya timu ndani ya msimu mmoja wa 2026.
Carrick alichukua jukumu la kuinoa..... download Xtra 90 App



