Jioni ya leo macho ya dunia ya soka yataelekezwa katika dimba la kihistoria la Wembley Stadium, ambapo kutapigwa moja ya mechi zenye thamani kubwa zaidi kifedha katika mchezo wa soka duniani. Pambano hili linaelezwa kama “The Most Lucrative Game in Football” kutokana na zawadi kubwa inayomsubiri mshindi — nafasi ya kushiriki Premier League msimu wa 2026/27 pamoja na mapato yanayokadiriwa..... download Xtra 90 App



