Local,Normal News,Ligi Kuu, Simba, Dodoma, TRA, Coastal Union

Ligi Kuu raundi ya 25 mechi nne leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
24 May 2026
Ligi Kuu raundi ya 25 mechi nne leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo ratiba ya mechi za raundi ya 25, mechi nne zinatarajiwa kupigwa.

Saa 10 jioni TRA United wataikaribisha Fountain Gate mchezo utakaopigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid huku mchezo kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya JKT Tanzania nao iikipigwa katika muda huo uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.

Saa 12:15 mechi inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini kati ya Simba dhidi ya Dodoma Jiji itapigwa uwanja wa KMC Complex.

Simba itarudi kileleni mwa msimamo wa ligi kama itashinda mchezo huo huku Dodoma Jiji wakipania kuchukua alama tatu nyingine mitaa ya Kariakoo baada ya ushindi dhidi ya Yanga.

Coastal Union watachuana na Mashujaa Fc katika mchezo wa mwisho siku ya leo utakaopigwa saa 2:30 usiku uwanja wa Mkwakwani.

More Stories

Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
4h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
8h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
9h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
11h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
11h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
15h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
17h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
18h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’