Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo ratiba ya mechi za raundi ya 25, mechi nne zinatarajiwa kupigwa.
Saa 10 jioni TRA United wataikaribisha Fountain Gate mchezo utakaopigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid huku mchezo kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya JKT Tanzania nao iikipigwa katika muda huo uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.
Saa 12:15 mechi inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka..... download Xtra 90 App



