Siku ya mwisho ya msimu wa Ligi Kuu England imeacha historia kubwa na drama ambapo West Ham United wameangukia Championship licha ya kushinda mechi yao, huku Tottenham Hotspur wakinusurika kushuka daraja kwa ushindi wa muhimu dhidi ya Everton.
West Ham washinda Leeds lakini bado washuka daraja
Katika mchezo wao dhidi ya Leeds United, West Ham walionyesha uwezo mkubwa na kuibuka na..... download Xtra 90 App



