Habari za moto na zimethibitishwa! Kocha wa zamani wa Chelsea, Enzo Maresca atajiunga na klabu ya Manchester City kuchukua nafasi ya Pep Guardiola.
Kwa mujibu wa mwanahabari maarufu wa usajili wa soka, Fabrizio Romano kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, amefichua taarifa za “EXCLUSIVE” zikidai kuwa Maresca tayari amesaini mkataba wa miaka mitatu na Manchester..... download Xtra 90 App



