Klabu ya KMC FC imeifikia rasmi rekodi mbaya iliyokuwa inashikiliwa na Kengold FC ya kupoteza michezo 20 katika msimu mmoja wa Ligi Kuu ya NBC.
KMC wamefikisha idadi hiyo baada ya jana kuchapwa mabao 3-0 na Azam FC wakipoteza mechi yao ya 20 msimu huu, huku wakiwa bado na michezo mitano kabla ya kumalizika kwa msimu wa 2025/26.
Kengold waliweka rekodi hiyo misimu miwili iliyopita..... download Xtra 90 App



