KMC wafikia rekodi mbaya ya Kengold Fc Ligi Kuu

Joel JJ By Joel JJ • 26th May 2026


KMC wafikia rekodi mbaya ya Kengold Fc Ligi Kuu

Klabu ya KMC FC imeifikia rasmi rekodi mbaya iliyokuwa inashikiliwa na Kengold FC ya kupoteza michezo 20 katika msimu mmoja wa Ligi Kuu ya NBC.

KMC wamefikisha idadi hiyo baada ya jana kuchapwa mabao 3-0 na Azam FC wakipoteza mechi yao ya 20 msimu huu, huku wakiwa bado na michezo mitano kabla ya kumalizika kwa msimu wa 2025/26.

Kengold waliweka rekodi hiyo misimu miwili iliyopita..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →