Ulimwengu wa soka umeingia katika hali ya taharuki baada ya nyota wa Brazil, Neymar, kuanza kupata matatizo ya kiafya siku chache kabla ya kuanza kwa FIFA World Cup 2026. Taarifa kutoka Rio de Janeiro zinaeleza kuwa mshambuliaji huyo alionekana akiwa na huzuni kubwa baada ya kufanyiwa vipimo vya MRI, huku baadhi ya mashuhuda wakidai kuwa alionekana akitokwa na machozi nje ya kliniki. Wasiwasi..... download Xtra 90 App



