Klabu ya Azam Fc imefungua mazungumzo na kiungo mkongwe Himid Mao ili kuhuisha mkataba wake unaoelekea ukingoni.
Mao ambaye alirejea Azam FC baada ya kucheza soka la kulipwa nchini Misri kwa miaka kadhaa, ameonekana kuwa sehemu muhimu ya kikosi hicho katika mashindano ya ndani na yale ya kimataifa.
Uzoefu wake mkubwa pamoja na uwezo wa kuiongoza timu katikati ya uwanja vimeifanya..... download Xtra 90 App



