Mabingwa wa Afrika, Mamelodi Sundowns, wameendelea kuonyesha ubora wao baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya RB Leipzig katika mechi ya kirafiki iliyochezwa usiku wa jana jijini Pretoria, Afrika Kusini.
Kikosi cha Leipzig, kinachoshiriki Bundesliga ya Ujerumani, kilikuwa cha kwanza kupata bao kupitia mshambuliaji kijana Samba Konaté aliyetikisa nyavu dakika ya 22 na kuwapa..... download Xtra 90 App



