Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Coastal Union, Bakari Msimu, amekamilisha rasmi usajili wake wa kujiunga na vigog wa soka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, TP Mazembe, katika hatua kubwa ya maendeleo ya maisha yake ya soka.
Makubaliano kati ya Coastal Union na TP Mazembe yamefikiwa kwa mafanikio, huku nyota huyo kijana akisubiri kumalizika kwa msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26 kabla..... download Xtra 90 App



