Nahodha mkongwe na mmoja wa wachezaji waliodumu kwa muda mrefu zaidi katika historia ya Ligi Kuu England, James Milner, ametangaza kustaafu soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 40, akihitimisha safari ya kipekee iliyodumu kwa takribani miaka 24 kwenye kiwango cha juu cha soka.
Milner alianza safari yake ya soka la kulipwa akiwa kijana mdogo mwenye umri wa miaka 16 alipocheza kwa mara ya..... download Xtra 90 App



