Klabu ya Singida Black Stars inaelezwa kuwa ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa beki wa kushoto wa TRA United, Valentine Nouma, kuelekea maandalizi ya msimu mpya wa mashindano.
Taarifa kutoka vyanzo vya karibu na klabu hiyo zinaeleza kuwa mazungumzo kati ya pande husika yamefikia hatua nzuri, huku Singida BS ikionesha dhamira kubwa ya kumuingiza nyota huyo katika kikosi..... download Xtra 90 App



