Safari ya kihistoria ya Serengeti Boys katika Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 (AFCON U-17) imefikia tamati kwa uchungu baada ya Tanzania kupoteza kwa mikwaju ya penalti 4-2 dhidi ya Senegal kufuatia sare ya mabao 1-1 katika fainali iliyochezwa usiku wa Jumanne mjini Rabat, Morocco.
Licha ya kutwaa nafasi ya pili, Tanzania imeandika historia kwa kufika fainali ya..... download Xtra 90 App



