Mechi za kirafiki zasitishwa Morocco kuhofia mlipuko wa Ebola

Joel JJ By Joel JJ β€’ 3rd June 2026


Mechi za kirafiki zasitishwa Morocco kuhofia mlipuko wa Ebola

Mamlaka za soka nchini Morocco zimesitisha mechi zote za kirafiki zilizokuwa zimepangwa kuchezwa na timu za mataifa mbalimbali zilizoko nchini humo, kufuatia tahadhari mpya za kiafya.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka nchini humo, uamuzi huo umechukuliwa kutokana na hofu ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola, hali iliyosababisha mamlaka kuchukua hatua za haraka za kinga.

Hatua hiyo imeathiri mipango ya maandalizi ya timu kadhaa za taifa ambazo zilikuwa zipo Morocco kwa ajili ya mechi za kirafiki za kimataifa.

Miongoni mwa timu zilizoathirika na uamuzi huo ni Tanzania, ambayo iliwahi kuwasili nchini humo jana kwa ajili ya maandalizi ya michezo miwili ya kirafiki dhidi ya Uganda na Rwanda.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’