Local,Normal News,Azam Fc, Mali

Azam Fc ilivyoitunishia misuli Mali

Joel JJ By Joel JJ
β€’
4 Jun 2026
Azam Fc ilivyoitunishia misuli Mali

Kocha Florent Ibenge ataendelea kusalia Azam Fc kwa mwaka mmoja zaidi baada ya kuongeza mkataba utakaomuweka viunga vya Chamazi hadi mwaka 2028.

Klabu ya Azam Fc methibitisha rasmi kumuongeza mkataba kocha huyo Mcongomani aliyejijengea heshima ya kipekee kwenye soka la Afrika.

Ibenge alikuwa tayari amefikia makubaliano na Shirikisho la soka la Mali kuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa. Hata hivyo Ibenge akajiondoa kwenye mchakato licha ya kuwa tayari alishapitishwa.

Ni baada ya Azam Fc 'kupiga comeback' iliyomshawishi kuongeza mwaka mwingine ili kuendelea na project ya kuisuka Azam Fc aliyoanza msimu huu.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
3h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
7h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
13h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
13h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
14h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
16h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
19h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’