Rais wa klabu ya Florentino Pérez amezungumzia kwa nguvu sera yake ya usajili wa wachezaji nyota, akisisitiza azma yake ya kuendelea kujenga kikosi chenye mastaa wa kiwango cha dunia kuelekea kipindi kipya cha uongozi.
Katika kauli yake inayohusishwa na kampeni ya kuwania nafasi ya uongozi ndani ya klabu, Pérez ameahidi kuwa Real Madrid ipo tayari kufanya usajili mkubwa wa euro milioni..... download Xtra 90 App



