Mabingwa wa soka wa Misri, Zamalek, wanakabiliwa na hatari ya kukosa leseni ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) msimu wa 2026/27 kutokana na changamoto kubwa ya madeni inayowakabili.
Taarifa kutoka Misri zinaeleza kuwa Zamalek bado wana mzigo wa madeni ya mamilioni ya dola huku wakikabiliwa na marufuku ya kufanya usajili iliyowekwa na FIFA. Hali hiyo..... download Xtra 90 App



