Klabu ya Simba SC imekamilisha mchakato wa kumsajili kiungo mshambuliaji chipukizi kutoka Coastal Union, Bakari Msimu, katika hatua ya kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao.
Taarifa zinaeleza kuwa usajili wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 18 umependekezwa moja kwa moja na kocha mkuu wa Simba, Steven Barker, ambaye amevutiwa na kasi na uwezo wa ubunifu wa kiungo huyo..... download Xtra 90 App



