Kocha mtarajiwa wa Real Madrid José Mourinho ameripotiwa kupanga mabadiliko makubwa katika benchi lake la ufundi kuelekea kurejea kwake katika klabu hiyo, ikiwa ni pamoja na kumjumuisha beki wake wa zamani na nahodha, Pepe, katika benchi lake la ufundi.
Kwa mujibu wa taarifa, Mourinho anapanga kujenga benchi lenye “watu wake wa karibu” pamoja na watu wenye uelewa wa ndani wa klabu ya..... download Xtra 90 App



