Mlinda mlango wa Simba, Moussa Camara (27), anatarajiwa kujiunga na klabu ya FC Annecy inayoshiriki Ligi Daraja la Pili nchini Ufaransa (Ligue 2) mara baada ya kumalizika kwa msimu huu.
Camara, raia wa Guinea, atatua katika kikosi hicho akiwa mchezaji huru kufuatia kumalizika kwa mkataba wake na Simba SC.
Taarifa zinaeleza kuwa Simba ilikuwa tayari kumuongezea mkataba golikipa huyo..... download Xtra 90 App



