Winga nyota wa Al Hilal Omdurman, Jean Claude Girumugisha, anatajwa kuwa mbioni kujiunga na klabu ya Al-Ittihad ya Libya katika moja ya usajili mkubwa zaidi kwa mchezaji wa Afrika Mashariki katika dirisha hili la usajili.
Taarifa kutoka vyanzo vya karibu na mazungumzo hayo zinaeleza kuwa Al-Ittihad imefikia makubaliano binafsi na nyota huyo wa Burundi mwenye umri wa miaka 21, ambaye..... download Xtra 90 App



