Atletico Madrid imekataa ofa ya euro milioni 150 iliyowasilishwa na wapinzani wao wa jiji, Real Madrid, kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wao nyota, Julián Álvarez.
Real Madrid ilithibitisha rasmi taarifa hiyo kupitia tamko lililotolewa baada ya kikao cha Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo kilichofanyika leo. Katika taarifa hiyo, wameeleza kuwa waliwasilisha ofa rasmi kwa Atletico..... download Xtra 90 App



