Kocha mkuu wa klabu ya Raja Club Athletic, Fadlu Davids, yuko mbioni kuondoka katika klabu hiyo baada ya pande zote mbili kuanza mazungumzo ya kuvunja mkataba kwa makubaliano ya pamoja.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana, kikao kilichofanyika jana kati ya uongozi wa Raja CA na kocha huyo wa Afrika Kusini hakikufikia muafaka wa mwisho kuhusu masharti ya kuachana. Kikwazo kikubwa..... download Xtra 90 App



