Beki wa kulia wa Yanga, Israel Mwenda, huenda akarejea kuichezea Singida Black Stars baada ya taarifa kueleza kuwa tayari amefikia makubaliano na waajiri wake wa zamani kuelekea msimu ujao.
Mwenda ni miongoni mwa wachezaji ambao mikataba yao na Yanga inatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu. Hata hivyo, hadi sasa hakuna dalili za klabu hiyo kufungua mazungumzo ya kuongeza mkataba..... download Xtra 90 App



