Kiungo mshambuliaji wa Yanga Allan Okello amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya NBC kwa mwezi Mei 2026.
Okello ametwaa tuzo hiyo akiwashinda Clatous Chama wa Simba na Feisal Salum wa Azam Fc.
Katika mwezi huo Okello alifunga mabao 9 na kutoa pasi moja ya bao.






