Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) limemteua mwamuzi wa kati kutoka Somalia, Omar Abdulkadir Artan, kuchezesha fainali ya UEFA Super Cup 2026, hatua inayomweka katika orodha ya waamuzi wachache kutoka Afrika kupata majukumu ya kiwango hicho barani Ulaya.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya UEFA, Artan ataongoza mechi kati ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa na Aston Villa ya England, katika..... download Xtra 90 App



