Hali ya taharuki imeripotiwa kutanda katika kambi ya mazoezi ya timu ya taifa ya Ureno nchini Marekani, baada ya taarifa kusambaa zikidai kuonekana kwa mamba watatu wakizurura ndani ya eneo la mazoezi.
Kwa mujibu wa ripoti hizo, kambi hiyo iliyopo jimbo la Florida inadaiwa kuwa karibu moja kwa moja na ziwa, jambo ambalo linaaminika kuwa huenda liliwaruhusu wanyama hao kuingia katika eneo..... download Xtra 90 App



