Ligi Kuu ya NBC imerejea leo baada ya mapumziko ya kalenda ya FIFA michezo miwili yenye ushindani mkubwa ikishuhudiwa ambapo Azam FC iliibuka na ushindi muhimu wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate, huku Coastal Union na Namungo FC zikitoshana nguvu kwa sare ya bao 1-1.
Katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mkoani Arusha, Azam FC ilionyesha kiwango bora na kufanikiwa kuondoka..... download Xtra 90 App



