Klabu ya Singida Black Stars imeripotiwa kukamilisha usajili wa winga wa kushoto wa AS Maniema Union ya DR Congo, Jeancy Mboma Kinda.
Taarifa zinadai kuwa nyota huyo wa miaka 22 amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo ya Singida baada ya mazungumzo yaliyodumu kwa muda mfupi.
Mboma ni mmoja wa wachezaji waliokuwa wakifuatiliwa kwa karibu kutokana na kiwango chake..... download Xtra 90 App



