Macho ya dunia ya soka yataelekezwa katika Uwanja wa New York/New Jersey nchini Marekani usiku wa leo majira ya saa 7 wakati mabingwa mara tano wa dunia Brazil watakapokutana na Morocco katika mchezo wa Kundi C wa Kombe la Dunia 2026.
Pambano hili linatajwa kuwa moja ya mechi kubwa zaidi za hatua ya makundi kutokana na kukutanisha timu mbili zinazoshika nafasi za juu duniani na ambazo..... download Xtra 90 App



