Timu ya taifa ya Brazil imeshindwa kuanza kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 kwa ushindi baada ya kulazimishwa sare ya mabao 1-1 dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi C uliopigwa katika Uwanja wa MetLife, New Jersey, Marekani.
Morocco ndiyo waliokuwa wa kwanza kupata bao kupitia kiungo Ismael Saibari dakika ya 21 baada ya kutumia vyema makosa ya safu ya ulinzi ya Brazil. Timu hiyo ya..... download Xtra 90 App



