Ingawa hakuwa uwanjani kutokana na jeraha la misuli ya mguu, Neymar alionekana kuwa sehemu muhimu ya timu ya Brazil katika mchezo wa Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Morocco uliomalizika kwa sare ya mabao 1-1.
Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa MetLife, Brazil ilijikuta nyuma kwa bao la Ismael Saibari wa Morocco dakika ya 21. Morocco walionekana kuutawala mchezo katika dakika za..... download Xtra 90 App



