Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi mbili za kuhitimisha raundi ya 26 zitapigwa.
Wekundu wa Msimbazi Simba Sc watakuwa uwanja wa nyumbani KMC Complex kuikabili Pamba Jiji katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.
Simba inahitaji ushindi ili kusalia kwenye mbio za ubingwa huku Pamba Jiji nao wakihitaji alama tatu ili kujiimarisha katika mapambano yao..... download Xtra 90 App



