Local,Normal News,Ligi Kuu, Simba, Pamba, Prisons, Dodoma

Ligi Kuu; Simba dhidi ya Pamba Jiji, Prisons uso kwa uso na Dodoma Jiji

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Jun 2026
Ligi Kuu; Simba dhidi ya Pamba Jiji, Prisons uso kwa uso na Dodoma Jiji

Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi mbili za kuhitimisha raundi ya 26 zitapigwa.

Wekundu wa Msimbazi Simba Sc watakuwa uwanja wa nyumbani KMC Complex kuikabili Pamba Jiji katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.

Simba inahitaji ushindi ili kusalia kwenye mbio za ubingwa huku Pamba Jiji nao wakihitaji alama tatu ili kujiimarisha katika mapambano yao ya kuwania nafasi nne za juu.

Mara ya mwisho timu hizo zilipokutana uwanja wa CCM Kirumba zilitoshana nguvu kwa matokeo ya sare ya bao 1-1.

Mchezo mwingine unaotarajiwa kupigwa leo ni kati ya Pamba Jiji dhidi ya Dodoma Jiji dimba la Sokoine mkoani Mbeya.

Tanzania Prisons wako kwenye hatari ya kuungana na KMC kushuka daraja msimu huu hivyo ni mchezo ambao wanahitaji ushindi ili kuweka hai matumaini yao ya kusalia ligi kuu.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
38m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’