Local,Transfer News,Tetesi, Simba, Mazembe

Simba yafuata beki TP Mazembe

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Jun 2026
Simba yafuata beki TP Mazembe

Klabu ya Simba SC ya Tanzania imeingia kwenye mchakato wa mazungumzo ya kumsajili beki na nahodha wa TP Mazembe, Madou Zon (27), katika juhudi za kuimarisha safu yao ya ulinzi kuelekea msimu mpya wa mashindano ya ndani na kimataifa.

Kwa mujibu wa taarifa, Simba SC wameonyesha nia ya dhati ya kumleta nyota huyo kutoka DR Congo, ambaye kwa sasa ndiye mmoja wa mabeki wanao-zungumzwa zaidi katika Ligi ya Congo.

Zon amekuwa katika kiwango bora msimu huu, ambapo alitajwa kuwa MVP wa duru la kwanza la ligi ya Congo DR, na bado ana nafasi kubwa ya kutwaa tuzo ya MVP wa msimu kutokana na ubora wake.

Uimara wake katika ulinzi, uwezo wa kuongoza wenzake, pamoja na uzoefu wake katika mechi kubwa, vimefanya aendelee kuvutia vilabu kadhaa barani Afrika.

Kocha wa Simba SC Steve Barkrer anaripotiwa kuwataka viongozi wa Simba kumaliza dili hilo haraka, akiamini Zon anaweza kuwa nguzo muhimu kwenye ulinzi na msaada mkubwa katika mashindano ya CAF.

Licha ya Ismail Toure kuendelea kufanya vyema akishirikiana na Rushine De Reuck ujio wa Zon utamuongezea Barker machaguo katika eneo hilo muhimu.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’