Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe, amethibitisha rasmi kuwa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga dhidi ya Azam FC uliopangwa kupigwa Juni 24 sasa utachezwa katika uwanja wa New Amaan Complex uliopo visiwani Zanzibar.
Yanga SC watakuwa wenyeji wa mchezo huo muhimu ambao una uzito mkubwa katika harakati zao za kutetea ubingwa wa ligi msimu..... download Xtra 90 App



