Leo Juni 15, mikiki mikiki ya Kombe la Dunia 2026 inaendelea Mexico, Canada na marekani ambapo mechi kadhaa kali zinatarajiwa kuchezwa.
Moja ya mechi zinazovuta hisia za mashabiki wengi wa soka Afrika ni ile ya Spain dhidi ya Cape Verde, ambapo mabingwa wa Ulaya wanatarajiwa kuanza kampeni yao dhidi ya timu ya Cape Verde inayoshiriki Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza kabisa katika..... download Xtra 90 App



