Shirikisho la Soka la Tunisia (FTF) limemfuta kazi kocha mkuu wa timu ya taifa, Sabri Lamouchi, saa chache baada ya timu hiyo kupokea kichapo cha mabao 5-1 kutoka kwa Sweden katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi F wa Kombe la Dunia 2026.
Uamuzi huo umekuja kufuatia matokeo mabaya yaliyozua taharuki ndani ya kambi ya Tunisia, huku viongozi wa shirikisho wakiamini kuwa mabadiliko ya haraka..... download Xtra 90 App



