Timu ya taifa ya Cape Verde imeandika historia katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kuizuia Hispania kwa sare ya bila kufungana (0-0) kwenye mechi ya ufunguzi ya Kundi H. Matokeo hayo yameifanya Cape Verde kuokota alama yake ya kwanza kabisa katika historia ya mashindano hayo huku ikiweka rekodi katika mechi yake ya kwanza ya Kombe la Dunia.
Cape Verde, ambayo inashiriki Kombe la Dunia kwa..... download Xtra 90 App



