Local,Normal News,Ligi Kuu, Namungo, Azam, Mashujaa, TRA

Ligi Kuu raundi ya 27, mechi mbili kupigwa leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Jun 2026
Ligi Kuu raundi ya 27, mechi mbili kupigwa leo

Ligi Kuu y NBC iko kwenye hatua za lala salama ikiwa tayari imeingia kwenye mzunguuko wa 27. Baada ya vibonde KMC kukubali kipigo cha mabao 3-1 dhidi ya Coastal Union jana, mechi nyingine mbili zitapigwa leo.

Namungo Fc watakuwa wenyeji wa TRA United katika mchezo utakaopigwa saa 10 jioni uwanja wa Majaliwa.

Ni vita ya timu mbili zenye malengo tofauti. Namungo Fc wanahitaji ushindi ili kujiondoa katika eneo la hatari kwenye msimamo wa ligi wakati TRA United wanatafuta tiketi ya kushiriki michuano ya CAF msimu ujao.

Azam Fc watachuana na Mashujaa Fc katika mchezo mwingine ambao utapigwa saa 1 usiku.

Mashujaa Fc wametoka kupoteza mchezo uliopita nyumbani dhidi ya Yanga wakifungwa mabao 2-0 wakati Azam Fc walipata ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya Fountain Gate.

Azam Fc kimahesabu bado wako kwenye mbio za ubingwa wakati Mashujaa Fc wanahitaji alama tatu ili kujiweka kwenye eneo salama zaidi katika msimamo.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
38m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’