Ligi Kuu y NBC iko kwenye hatua za lala salama ikiwa tayari imeingia kwenye mzunguuko wa 27. Baada ya vibonde KMC kukubali kipigo cha mabao 3-1 dhidi ya Coastal Union jana, mechi nyingine mbili zitapigwa leo.
Namungo Fc watakuwa wenyeji wa TRA United katika mchezo utakaopigwa saa 10 jioni uwanja wa Majaliwa.
Ni vita ya timu mbili zenye malengo tofauti. Namungo Fc wanahitaji ushindi..... download Xtra 90 App



