Baada ya msimu wa majonzi na matokeo yasiyoridhisha, KMC imehitimisha safari yake ya NBC Premier League 2025/26 kwa kushuka daraja ikiwa na pointi tisa pekee kutoka mechi 25 ilizocheza, takwimu zilizozua mjadala mkubwa kuhusu moja ya misimu mibaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
KMC imeingia kwenye vitabu vya kumbukumbu vya soka la Tanzania kwa sababu..... download Xtra 90 App



