Azam FC imeendelea kuonyesha ubora wake katika Ligi Kuu ya NBC baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo uliochezwa leo dimba la Azam Complex.
Mabao ya Sadio Kanoute pamoja na James Akaminko yalitosha kuwapa Wanalambalamba pointi tatu muhimu mbele ya Mashujaa FC. Ushindi huo umeifanya Azam FC kuendelea kuimarisha nafasi yake ya tatu kwenye msimamo wa ligi..... download Xtra 90 App



