Ufaransa imeanza kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 kwa ushindi muhimu wa mabao 3-1 dhidi ya Senegal katika mchezo wa Kundi I uliochezwa Jumanne nchini Marekani.
Nahodha wa Ufaransa, Kylian MbappΓ©, alikuwa shujaa wa mechi hiyo baada ya kufunga mabao mawili yaliyoiwezesha timu yake kuondoka na alama tatu muhimu. Ushindi huo umeiweka Ufaransa katika nafasi nzuri ya kuwania kufuzu hatua ya..... download Xtra 90 App



