Macho ya mashabiki wa soka duniani leo yataelekezwa kwenye mechi mbili kubwa za Kombe la Dunia 2026 huku DR Congo ikikabiliana na Ureno, wakati Uingereza itashuka dimbani dhidi ya Croatia katika michezo ya ufunguzi ya makundi K na L.
Katika Kundi K, DR Congo inarejea kwenye fainali za Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1974, jambo linaloifanya mechi dhidi ya Ureno kuwa ya..... download Xtra 90 App



