Nahodha wa timu ya taifa ya England, Harry Kane, ameandika historia mpya katika mashindano ya Kombe la Dunia baada ya kufikisha jumla ya mabao 10, hatua ambayo inamfanya alingane na rekodi ya gwiji wa zamani wa England, Gary Lineker.
Kane alifikia idadi hiyo ya mabao kufuatia mabao yake mawili katika mechi dhidi ya Croatia akiiongoza Uingereza kuanza vyema kampeni ya kulisaka kombe la..... download Xtra 90 App



